Wed, 21 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwanasheria wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Paul Kisabo ameshawasili Mahakama Kuu kwaajili kusikiliza shauri la maombi ya kutaka DPP, DCI, IGP wajibu mashtaka kwanini hawajamleta Abdul Nondo Mahakamani na wamemshikiria kinyume na sheria.
Mwanasheria wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Paul Kisabo ameshawasili Mahakama Kuu kwaajili kusikiliza shauri la maombi ya kutaka DPP, DCI, IGP wajibu mashtaka kwanini hawajamleta Abdul Nondo Mahakamani na wamemshikiria kinyume na sheria.
Chanzo: bongo5.com