Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Shamimu na mumewe kuhumiwa Jumatano

SHAMIMUU Ed Shamimu na mumewe kuhumiwa Jumatano

Sun, 28 Mar 2021 Chanzo: ippmedia.com

Hukumu hiyo itatolewa baada ya upande wa mashtaka na wa utetezi kumaliza kutoa ushahidi wao.

Upande wa mashtaka ulipeleka mashahidi sita na vielelezo NANE huku upande wa utetezi ulikuwa na mashahidi watatu.

Shamimu ambaye ni mmiliki wa Blog ya 8020 na mumewe Nsembo, wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini gramu 439.70, wanadaiwa kutenda tukio hilo Mei mosi 2019 huko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Kesi hiyo inasikilizwa na Jaji Elinaza Luvanda.

Chanzo: ippmedia.com