Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyewahi kuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya akiwasili katika Mahakama ya Rufani Kanda ya Arusha kwa ajili ya kusikiliza shauri la rufani ya jinai namba 231/2022.
Hivi karibuni shauri hilo lilifikishwa mbele ya Majaji watatu wa mahakama hiyo ambao ni Jaji Ignas Kitusi, Jaji Jacobo Mwabegele na Jaji Edith Mgonya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live