Mon, 4 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole sabaya na wenzake wanne wanaoshtakiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi wamewasili katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi ambapo kesi yao inatajwa tena.
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole sabaya na wenzake wanne wanaoshtakiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi wamewasili katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi ambapo kesi yao inatajwa tena. Sabaya amefika mahakamani hapo akiwa amevalia jezi ya klabu ya Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara na Kombe la FA.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live