Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Sabaya arudishwa Mahabusu ashindwa kumalizia ushahidi (video+)

Video Archive
Tue, 20 Jul 2021 Chanzo: millardayo.com

Kesi ya unya’anyi wa kutumia silaha inayomkabili Lengai Ole Sabaya, Daniel Mbura pamoja na Silvester Nyegu imeahirishwa hadi July 22,2021 baada ya shahidi aliyekuwa akitoa ushahidi kushindwa kufika mahakamani kutokana na imani ya dini ambapo imeelezwa mahakamani hapo yupo kwenye Sikukuu za Idd.

Kesi ya unya’anyi wa kutumia silaha inayomkabili Lengai Ole Sabaya, Daniel Mbura pamoja na Silvester Nyegu imeahirishwa hadi July 22,2021 baada ya shahidi aliyekuwa akitoa ushahidi kushindwa kufika mahakamani kutokana na imani ya dini ambapo imeelezwa mahakamani hapo yupo kwenye Sikukuu za Idd.

Chanzo: millardayo.com