Fri, 4 Jun 2021
Chanzo: ippmedia.com
Sabaya, na washtakiwa wenzake watano walifikishwa Mahakamani hapo, majira ya saa 1:10 mchana akiwa na chini ya ulinzi wa maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Sabaya, na washtakiwa wenzake watano walifikishwa Mahakamani hapo, majira ya saa 1:10 mchana akiwa na chini ya ulinzi wa maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Mashtaka yanayowakabili washtakiwa hao ni pamoja na uhujumu uchumi,kuongoza magenge ya kiuhalifu, kuomba na kushawishi kupewa rushwa na unyanganyi kwa kutumia silaha.
Chanzo: ippmedia.com