Tue, 7 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya leo Juni 7, 2022 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.
Lengai na wenzake wane wanakabiliwa na kosa la uhujumu uchumi, kuogoza genge la uhalifu, pamoja na kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Tazama video hapa (kwa hisani ya MwananchiDigital)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live