Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Risasi yafyatuliwa kwenye machimbo Arusha,wachimbaji wakimbia,polisi waongea (+video)

Bastolaaa 660x400 Mgodini Arusha

Thu, 10 Jun 2021 Chanzo: millardayo.com

Wachimbaji wa moramu kwenye machimbo yaliyopo katika kata ya Moivaro mkoani Arusha wamepata mshtuko baada yakudai polisi kufyatua risasi hewani huku wakiamriwa kuondoka.Baada ya malalamiko hayo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justine masejo amesema wanafanya ufuatiliaji wa tukio hilo ili kuweza kupata ukweli wa taarifa hizo.

Wachimbaji wa moramu kwenye machimbo yaliyopo katika kata ya Moivaro mkoani Arusha wamepata mshtuko baada yakudai polisi kufyatua risasi hewani huku wakiamriwa kuondoka.Baada ya malalamiko hayo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justine masejo amesema wanafanya ufuatiliaji wa tukio hilo ili kuweza kupata ukweli wa taarifa hizo.

Chanzo: millardayo.com