Fri, 14 Aug 2020
Chanzo: millardayo.com
Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema bado linaendelea na uchunguzi kuhusu kuchomwa moto ofisi za CHADEMA kanda ya kaskazini nakusema hadi sasa hakuna mtu anayeshikiliwa kuhusiana na tukio hilo
Kamanda wa polisi mkoani Arusha Salum Hamduni amewataka wanachi kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo ili kuwakamata watuhumiwa nakuwafikisha kwenye vyombo vya sheria
KAULI YA LEMA BAADA YA OFISI YA CHAMA KUDAIWA KUCHOMWA NA WASIOJULIKANA
Chanzo: millardayo.com