Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Polisi wawadaka wezi vinara wa benki

Mbaroni (1) Polisi wawadaka wezi vinara wa benki

Thu, 21 Sep 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Jeshi la polisi mkoani Tanga linawashikilia raia wawili kutoka Kenya kwa tuhuma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwaibia watu wanaopaki magari nje ya benki na wanaopaki magari nje ya ofisi.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amewataja raia hao kuwa ni Idrisa Musa Kasimu (24) na Samweli Kimath (25), waliokuwa wakitumia gari lenye namba za usajili T 931 CVS aina ya IST.

Amesema baada ya mahojiano na jeshi la polisi kukamilika, watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live