Mon, 19 Oct 2020
Chanzo: millardayo.com
Jeshi la polisi mkoani Arusha limewaua majambazi wawili wakati wakijibishana risasi katika eneo la Olorieni huku majambazi watatu wakikimbia
kamanda wa polisi mkoani Arusha Salum Hamduni amesema majambazi hao waliacha silaha mbili ambazo ni shot -gun pamoja na bastola yenye risasi nne
ANGALIA STYLE ZA WATU WA ARUSHA WANAVYOCHEZA NA BAISKELI “NAJUA AINA 30”
Chanzo: millardayo.com