Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Polisi wafyatua mabomu Singida, watu warusha mawe, RC afunguka (video+)

Video Archive
Tue, 26 Oct 2021 Chanzo: millardayo.com

Jeshi la Polisi mkoani Singida limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya Wananchi waliokuwa wamechoma matairi barabarani.

Tukio hilo limetokea kufuatia msafara unaodaiwa kuwa wa BOT kumgonga Mwanafunzi na kupelekea kifo.

Ayo TV & Millardayo.com imekuandalia hapa taarifa kamili unaweza ukabonyeza play kufahamu zaidi.

Chanzo: millardayo.com