Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Polisi Iringa wakamata KG.65 za meno ya tembo

Meno Ya Tembo    Polisi Iringa wakamata KG.65 za meno ya tembo

Thu, 13 Jan 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Jeshi la Polisi mkoani Iringa kwa kushirikiana na Hifadhi ya taifa ya Ruaha limekamata meno ya tembo yenye uzito wa kilogram 65 yanayokadiriwa kuwa na gharama ya Zaidi ya shilingi milioni miambili hali inayoashiria kurejea kwa vitendo vya ujangili katika hifadhi.

Akitoa taarifa juu ya matukio mbalimbali ya uhalifu kamanda wa polisi Mkoa wa Iringa Kamishina Msaidizi wa Polisi Allan Bukumbi amesema kukamatwa kwa watuhumiwa hao waliokuwa wakisafirisha nyara hizo za serikali kunatokana na opparesheni zinazofanywa jeshi hilo.

View this post on Instagram

A post shared by Clouds TV ???????? (@cloudstv)

Chanzo: www.tanzaniaweb.live