Fri, 15 Oct 2021
Chanzo: millardayo.com
NI Kutokea Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo ambako Hukumu ya kesi ya Unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa DC Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili Silvester Nyegu na Daniel Mbura inatarajiwa kutolewa.
Hizi ni picha zikimuonesha akiwasili Mahakamani hapo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Chanzo: millardayo.com