Selemani Machele Msamati (72) amefariki wakati akitibiwa Songea, Ruvuma baada ya kunywa sumu ya kimatila ya kuulia wadudu shambani, RPC Simon Maigwa amesema bado sababu ya kujiua haijabainika lakini uchunguzi unaendelea.
Selemani Machele Msamati (72) amefariki wakati akitibiwa Songea, Ruvuma baada ya kunywa sumu ya kimatila ya kuulia wadudu shambani, RPC Simon Maigwa amesema bado sababu ya kujiua haijabainika lakini uchunguzi unaendelea. RPC Maigwa amesema “Wananchi msijichukulie maamuzi ya mnapopatwa na magumu, fateni ushauri na usaidizi kama wa Taasisi za kidini, Dawati la Jinsia au Ndugu na Jamaa wa karibu”