Thu, 16 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Mwanamke mmoja mkazi wa Zanzibar amepigwa na kuumizwa Vibaya kupelekea hadi kukohoa damu , amewatuhumu Askari jamii na baadhi ya Watoto wa Mwenyekiti wa Mtaa kuhusika kwenye tukio hilo.
Mwanamke mmoja mkazi wa Zanzibar amepigwa na kuumizwa Vibaya kupelekea hadi kukohoa damu , amewatuhumu Askari jamii na baadhi ya Watoto wa Mwenyekiti wa Mtaa kuhusika kwenye tukio hilo.
Chanzo: millardayo.com