Thu, 9 Sep 2021
Chanzo: Jamii Forums
Jeshi la Polisi linamshikilia Hamisi Ibrahim (15) Mkazi wa Kadege kata ya Forest jijijni Mbeya ,akituhumiwa kumbaka na kumuua Mtoto mwenye umri wa miaka sita
Marehemu alikuwa Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza na mwili wake ulitelekezwa kwenye jengo la Nyumba jirani na nyumbani kwao, Kata ya Forest
Mtoto huyo alikuwa akiishi na Bibi yake na kabla ya Mwili wake kupatikana juzi alitoweka nyumbani kwa siku mbili
Chanzo: Jamii Forums