Fri, 6 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amefikishwa katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo kwa ajili ya kusikiliza Kesi inayomkabili ya Ugaidi.
Kesi hiyo ilihairishwa jana kutokana na hitilafu ya kimtandao iliyojitokeza kwenye usikilizwaji, jambo ambalo liliiladhimu Mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkuu Thomas Simba kuisogeza hadi leo Agost 6 Mwaka huu.
Tayari Mawakili takribani 370 wamejitokeza kusimamia kesi ya kiongozi huyo wakiongozwa na Wakili Peter Kibatala.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live