Fri, 6 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu leo Ijumaa, Agosti 6, 2021 kwa ajili ya kusikiliza Kesi inayomkabili baada ya zoezi hilo kushindikana jana kutokana na muonekano hafifu wa Video Conference.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu leo Ijumaa, Agosti 6, 2021 kwa ajili ya kusikiliza Kesi inayomkabili baada ya zoezi hilo kushindikana jana kutokana na muonekano hafifu wa Video Conference.
Chanzo: globalpublishers.co.tz