Wed, 6 Mar 2019
Chanzo: mwananchi.co.tz
Bukoba. Mtuhumiwa wa kwanza mauaji ya mwanafunzi wa shule ya msingi Kibeta, Respicius Mutazangirwa ametumia dakika tatu kusoma mistari kadhaa kwenye Biblia kabla ya kuanza kusomwa hukumu ya mauaji ya kukusudia ya mwanafunzi Sperius Eradius aliyekuwa darasa la tano.
Soma Zaidi: Kusuka au kunyoa leo kesi ya walimu walioshtakiwa kumuu mwanafunzi
Endelea kufuatilia tukio zima hapa
Chanzo: mwananchi.co.tz