Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Desemba 17, imemuachia huru mfanyabiashara Tariq Machibya (29) maarufu ‘Mr Kuku’ baada ya kulipa faini ya Shilingi milioni tano, huku fedha zake Shilingi bilioni 5.4 zilizokuwa kwenye akaunti yake zikitaifishwa.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Desemba 17, imemuachia huru mfanyabiashara Tariq Machibya (29) maarufu ‘Mr Kuku’ baada ya kulipa faini ya Shilingi milioni tano, huku fedha zake Shilingi bilioni 5.4 zilizokuwa kwenye akaunti yake zikitaifishwa. Jana Mahakama hiyo ilimuhukumu kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilinig 500,000 baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mawili ambayo ni kujihusisha na biashara ya upatu kwa kukusanya fedha kutoka kwa umma na kukubali kupokea miamala ya fedha bila leseni.