Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

LHRC yakanusha taarifa ya kuteuliwa kwa Dkt. Kijo-Bisimba kuwa Mjumbe wa Baraza la wazee Chadema

8484 1414070038980.jpeg TZW

Thu, 31 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), kimekanusha taarifa ya kuwa Bi Hellen Kijo Bisimba ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Wazee Chadema.



Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)inaukumbusha umma wa watanzania kuwa Dkt. Helen Kijo-Bisimba bado ni Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC mpaka Juni 30, 2018.

LHRC kupitia ukurasa wake wa Twitter wameandika hivi: Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinakanusha taarifa hii na kuukumbusha umma wa watanzania kuwa Dkt. Helen Kijo-Bisimba bado ni Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC mpaka Juni 30, 2018.

Taarifa hii ni uzushi na ni ya kupuuzwa.

Taarifa iliyoelezwa ni ya kupuuzwa ni hii hapa chini:



Loading...
Chanzo: bongo5.com