Tue, 31 Aug 2021
Chanzo: millardayo.com
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama Mahakama ya Mafisadi katika kesi inayowakabili ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama Mahakama ya Mafisadi katika kesi inayowakabili ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi.
Chanzo: millardayo.com