Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kwa mara ya kwanza, Mbowe na wenzake wafikishwa Mahakama ya Mafisadi (video+)

Video Archive
Tue, 31 Aug 2021 Chanzo: millardayo.com

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama Mahakama ya Mafisadi katika kesi inayowakabili ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama Mahakama ya Mafisadi katika kesi inayowakabili ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi.

Chanzo: millardayo.com