Sun, 12 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mratibu wa soka la vijana wa Klabu ya Barcelona, Albert Benaiges ameshutumiwa kwa kuwanyanyasa wa kingono, wanafunzi wa akademi.
Kundi la wanafunzi wa zamani wa akademi hiyo waliripoti polisi nchini Hispania siku ya Ijumaa.
Barcelona ilimtimua Benaiges Disemba 2 mwaka huu na iwapo uchunguzi utabaini kuwa shutuma hizo ni za kweli huenda akafikishwa mahakamani na kupewa adhabu nzito.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live