Mon, 30 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Kesi ya Mbowe, Wafuasi wa Chadema Waangua Kilio Mahakamani – Video August 30, 2021 by Global Publishers
Kesi ya Mbowe, Wafuasi wa Chadema Waangua Kilio Mahakamani – Video August 30, 2021 by Global Publishers WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameangua kilio hadharani katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakati wakishuhudia Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe akirejeshwa rumande baada ya kusikiliza kesi aliyofungua dhidi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Chanzo: globalpublishers.co.tz