Tue, 28 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni, linawashikilia Watu watatu kwa tuhuma za kuvunja na kuiba vitu mbalimbali kwenye nyumba ya Askari wa JWTZ, Kikosi namba 501, Chris ambaye ni mkazi wa Goba.
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni, linawashikilia Watu watatu kwa tuhuma za kuvunja na kuiba vitu mbalimbali kwenye nyumba ya Askari wa JWTZ, Kikosi namba 501, Chris ambaye ni mkazi wa Goba.
Chanzo: millardayo.com