Mon, 23 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro wanatarajia kuwa mashahidi kwenye kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Hatua hii inakuja mara baada ya Mbowe kusomewa mashtaka hii leo huku miongoni mwa hayo likiwemo shitaka la kutaka kumdhulu Sabaya, kipindi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.
Hata hivyo kesi hiyo imehamishiwa Mahakama Kuu mara baada ya idadi ya mshahidi kuwasilishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu mbeye ya Hakimu Mkuu Thomas Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live