Mon, 14 Jun 2021
Chanzo: millardayo.com
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia SHADRACK KAPANGA (34), Msaidizi wa kazi za ndani (House boy) kwa kosa la kuwauwa wanafamilia.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia SHADRACK KAPANGA (34), Msaidizi wa kazi za ndani (House boy) kwa kosa la kuwauwa wanafamilia.
Chanzo: millardayo.com