Thu, 11 Mar 2021
Chanzo: millardayo.com
Diwani wa Kata ya Miembeni katika Manispaa ya Moshi pamoja na Askari sungusungu wanadaiwa kufyatuliwa risasi na Mfanyabiashara mmoja mkoani Kilimanjaro wakati wa usiku wakifanya ulinzi shirikishi baada ya kukuta watu wakiwa wanafanya mapenzi barabarani.
Diwani wa Kata ya Miembeni katika Manispaa ya Moshi pamoja na Askari sungusungu wanadaiwa kufyatuliwa risasi na Mfanyabiashara mmoja mkoani Kilimanjaro wakati wa usiku wakifanya ulinzi shirikishi baada ya kukuta watu wakiwa wanafanya mapenzi barabarani.
Chanzo: millardayo.com