Thu, 19 Sep 2019
Chanzo: mwananchi.co.tz
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu aliyekuwa Rais wa Simba, Evans Aveva na wenzake katika mashitaka manane isipokuwa mawili ya utakatishaji fedha.
Kutokana na hatua hiyo, Aveva na mshitakiwa mwenzake Godfrey Nyange, ambaye alikuwa makamu wake, dhamana yao iko huru kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya Sh 30 milioni.
Soma zaidi hapa>>Hatma ya kesi ya Aveva, Kaburu Oktoba 2
Chanzo: mwananchi.co.tz