Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Dawa za kulevya zazidi kumuweka Chid Benz Polisi

1839 DSC 1015 TZW

Thu, 25 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Chid Benz bado anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya.



Jeshi la polisi mkoani humo limesema bado linaendelea kumshikilia msanii huyo na baada ya uchunguzi kukamilika atafikishwa mahakamani pamoja na washtakiwa wenzake.

Chid Benz alikamatwa December 30 mwaka jana, 2017 akiwa na mke wake na vijana wawili.

Chanzo: bongo5.com