Fri, 4 Jun 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Breaking: Sabaya Ashtakiwa kwa Ujambazi June 4, 2021 by Global Publishers
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ambaye alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, amesomewa mashtaka sita, ikiwemo uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na unyang’anyi wa kutumia silaha (ujambazi), hivyo amekosa dhamana mpaka Juni 18, kesi yake itakapotajwa tena.
Chanzo: globalpublishers.co.tz