Wed, 25 Nov 2020
Chanzo: millardayo.com
Mkurugenzi wa kampuni ya Utalii ya Shidolya mkoani Arusha, Lazarus Mafie maarufu kwa jina la Shidolya Mkazi wa Kimandolu, wilayani Arumeru, amefikishwa Mahakamani akituhumiwa kutenda kosa la mauaji ya kukusudia kwa mfanyakazi wake.
Mkurugenzi wa kampuni ya Utalii ya Shidolya mkoani Arusha, Lazarus Mafie maarufu kwa jina la Shidolya Mkazi wa Kimandolu, wilayani Arumeru, amefikishwa Mahakamani akituhumiwa kutenda kosa la mauaji ya kukusudia kwa mfanyakazi wake. BILIONEA MPYA MWINGINE WA MADINI APATIKANA ARUSHA,ANAITWA LAIZER
Chanzo: millardayo.com