Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Baba aua mwanawe kwa panga

PANGA Ed Baba aua mwanawe kwa panga

Mon, 12 Jul 2021 Chanzo: ippmedia.com

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, William Mwampaghale, amesema mtuhumiwa huyo anadaiwa kumuua mtoto wake kwa kumpiga na panga, kwamba tukio hilo lilitokea Julai mosi, mwaka huu katika Kitongoji cha Kaloleni.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta ili achukuliwe hatua za kisheria.

Inaelezwa kwamba licha ya kudaiwa kutekeleza tukio hilo, Simfukwe amekuwa akitoa lugha za vitisho kwa Mwenyekiti wa Mtaa.

Inadaiwa kuwa kabla ya Simfukwe kufanya mauaji hayo alikuwa na mgogoro wa kifamilia na mkewe uliosababisha mwanamke huyo kukimbilia nyumbani kwao na kumuacha mtoto huyo akiwa na baba yake.

Chanzo: ippmedia.com