Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Baba amuua Mama na mwanae na kajinyonga (+video)

Video Archive
Thu, 1 Apr 2021 Chanzo: millardayo.com

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linaendelea kufanya uchunguzi wa tukio la vifo vya watu watatu wa familia moja ambalo limetokea Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linaendelea kufanya uchunguzi wa tukio la vifo vya watu watatu wa familia moja ambalo limetokea Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera. Kamanda wa Polisi Mkoani humo Revocatus Malimi ameeleza kuwa uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha tukio hilo ni ugomvi wa imani za kidini.

Chanzo: millardayo.com