Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Auawa kwa tuhuma wizi ‘kitimoto’

42549 Pic+kitimoto Auawa kwa tuhuma wizi ‘kitimoto’

Tue, 19 Feb 2019 Chanzo: mwananchi.co.tz

Morogoro. Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Isack Ibrahimu (31) mkazi wa Bigwa manispaa hiyo, ameuawa kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali baada ya kutuhumiwa kutaka kuiba nguruwe. Amesema mauaji hayo yametokea Februari 16 saa 9 usiku maeneo ya Bigwa baada ya mwenye nguruwe hao kumkuta kwenye banda na kuanza kumpiga huku akiita watu waliomshambulia hadi kifo.

Chanzo: mwananchi.co.tz