Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Atumia visu nane kutahiri watoto 200, mwingine alikuwa na Virusi vya UKIMWI (+video)

Video Archive
Wed, 2 Dec 2020 Chanzo: millardayo.com

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Eng. Simon Mtemi amesema kuwa kwa kipindi cha mwaka jana waliwakamata watu wawili, mmoja alifanya tohara kwa watoto mia mbili kwa kutumia visu nane na mwingine alifanya shughuli hiyo akiwa ana Virusi Vya UKIMWI.

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Eng. Simon Mtemi amesema kuwa kwa kipindi cha mwaka jana waliwakamata watu wawili, mmoja alifanya tohara kwa watoto mia mbili kwa kutumia visu nane na mwingine alifanya shughuli hiyo akiwa ana Virusi Vya UKIMWI.

Chanzo: millardayo.com