Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Askari wanaodaiwa kumuua mwanachama wa ACT wakamatwa

Wakamatwapic 660x400 Askari wanaodaiwa kumuua mwanachama wa ACT wakamatwa

Fri, 13 Nov 2020 Chanzo: millardayo.com

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu saba kwa tuhuma za mauaji ya Said Salum Suleiman (32) mkazi wa Mwembemakumbi mjini Unguja.

Wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Suleiman ambaye alikuwa Katibu wa ACT-Wazalendo Tawi la Mwembemakumbu ni Askari wanne wa Vikosi vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Maofisa watatu wa idara ya misitu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Awadh Juma Haji amesema Suleiman alipigwa risasi na Maofisa hao eneo la Mwembemakumbi.

HATARI, WANAFUKUA MAITI KABURINI, KUWABADILISHA NGUO, KUVUTISHA SIGARA, “MAPENZI HAYAISHI”

Chanzo: millardayo.com