Fri, 29 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kijana Mohammed Rajabu (18) mwenye ulemavu wa ngozi (alibino) mkazi wa Manzese jijini Dar es Salaam amenusurika kupoteza mkono baada ya kukatwa vidole na watu wasiojulikana mnamo Aprili 25, 2022.
Kijana Mohammed Rajabu (18) mwenye ulemavu wa ngozi (alibino) mkazi wa Manzese jijini Dar es Salaam amenusurika kupoteza mkono baada ya kukatwa vidole na watu wasiojulikana mnamo Aprili 25, 2022. Mama mzazi wa Mohammed anasema sasa wanalazimika kumfungia ndani mwanaye huyo kwa kuhofia kutendewa tena tukio hilo la kikatili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live