Mon, 20 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Halmashauri ya Kigoma, Frenk Mabuga amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji.
Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Halmashauri ya Kigoma, Frenk Mabuga amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji. Akitoa hukumu hiyo, Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Kigoma, Eva Mushi amesema mahakama hiyo imemtia hatiani baada ya kujiridhisha pasi na shaka kwamba Mshitakiwa alitenda kosa hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live