Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata Zulfa Ramadhani, miaka (20) na wenzake 75 wakiwa na dawa za kulevya kete 15 Heroine, Bhangi Puli 396 , Kete 1,380 na Misokoto ya bangi 1200
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata Zulfa Ramadhani, miaka (20) na wenzake 75 wakiwa na dawa za kulevya kete 15 Heroine, Bhangi Puli 396 , Kete 1,380 na Misokoto ya bangi 1200 Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro amesema leo kuwa watuhumiwa hao walikamtwa kutokana na Oparesheni, doria na misako inayoendelea ili wananchi waendelee kuwa salama.