Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

56 washikiliwa na Jeshi la Polisi tuhuma wizi wa magari, pikipiki

Mamboss1 Ed 56 washikiliwa na Jeshi la Polisi tuhuma wizi wa magari, pikipiki

Tue, 20 Apr 2021 Chanzo: ippmedia.com

Hayo yameelezwa Leo na Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Kamanda Mambosasa amesema, Katika kipindi cha kuanzia mwezi Machi hadi Aprili, 2021 Jeshi la polisi limefanya operesheni mbalimbali ya kupambana na waharifu vinara wanaojihusisha na wizi wa magari pamoja na pikipiki katika jiji la Dar es salaam.

Aidha, Kamanda Mambosasa amesema kuwa bado Jeshi linaendelea na uchunguzi na watuhumiwa wanaendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi la polisi.

Chanzo: ippmedia.com