Menu ›
Biashara
Wed, 31 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Wizara ya Viwanda na Biashara inautangazi umma kuwa tayari imeshahamia rasmi Mjini Dodoma ofisi za wizara kutoka jengo la Hazina ndogo Mjini Dodoma na sasa wamehamia katika majengo ya chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Soma taarifa kamili;
Chanzo: bongo5.com