Element Club
Wapi- Masaki jijini Dar es Salaam
Jumamosi hii, DJ Sinyorita atakuwa anawarusha kwa muziki mtamu kuanzia saa tatu.
Mint Club
Wapi- Bukoba
Kama upo Bukoba wikiendi hii unaweza kupunguza uchovu wa kazi wa wiki nzima kwa kujirusha Mint Club kuanzia leo Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
Serena Hotel Dar
Pata Iftar kila siku katika mwezi wa Ramadhani kuanzia Mei 16- Juni 17, 2018 ndani ya mgahawa wa Serengeti kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2.00 usiku.
Ambassador
Kama upondaniyaMjiwaGeita kiwanjahikikipokatika barabarayakuelekeamgodimkubwawadhahabu. Ukiwakwenye Club ya Ambassador utapatachakulakizuri,mchemshowandizisamaki fresh na kuku.
Club 7
Kama upokatikamakaomakuuyanchi, unawezakujirusha Club 7 kuanziaIjumaa, JumamosinaJumapili. Mbalinamuziki, chakulakizurinimojayasifainayoitofautisha Club hiyonanyinginekatikaJiji la Dodoma.