Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki, amesema atazifungia kufanya kazi machijio zote za mkoa wa Dar es Salaam na nyinginezo hapa nchini ambazo zimekuwa zikiendesha minada ya mifugo badala ya kufanya kazi husika ambayo ni kuchinja mifugo pekee.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki, amesema atazifungia kufanya kazi machijio zote za mkoa wa Dar es Salaam na nyinginezo hapa nchini ambazo zimekuwa zikiendesha minada ya mifugo badala ya kufanya kazi husika ambayo ni kuchinja mifugo pekee. Hayo ameyasema Dar es Salaam, wakati akizindua mizani ya mifugo katika mnada wa Pugu ambayo itatumika kupima kilo za mifugo kabla ya kuuzwa.