Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Waziri Hasunga kuzindua mkakati wa kuendeleza zao la mpunga awamu ya pili

Waziri Hasunga kuzindua mkakati wa kuendeleza zao la mpunga awamu ya pili

Mon, 16 Dec 2019 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga kesho Desemba 16 atazindua Mkakati wa kuendeleza zao la mpunga awamu ya pili 2019-2030, jijini Dodoma Tanzania.  

Taarifa iliyotolewa leo Desemba 15 na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhandisi Mathew Mtigumwe imesema mkakati huo utatekelezwa kwa kipindi cha miaka kumi kuanzia 2019/2020 hadi 2029/2030.

“Uzinduzi huo utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa St Gaspar Jijini Dodoma kuanzia saa 2.00 asubuhi. Wadau wa zao la mpunga na wananchi mnaalikwa,” imesema taarifa hiyo.

Chanzo: mwananchi.co.tz