Menu ›
Biashara
Fri, 12 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kituo cha uwekezaji nchini (TIC) kimeratibu kongamano la kwanza la kimtandao likiwaleta pamoja wawekezaji kutoka China na Tanzania.
Kituo cha uwekezaji nchini (TIC) kimeratibu kongamano la kwanza la kimtandao likiwaleta pamoja wawekezaji kutoka China na Tanzania. Katika kongamano hilo linalofanyika leo limeongozwa na Balozi wa Tanzania nchini China, Balozi Khamis Omar. TIC imesema kongamano jingine litafanyika Aprili 16, 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live