Menu ›
Biashara
Sun, 12 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katika jitihada za kulinda mazingira ziwani baadhi ya wavuvi nchini Tanzania wameanza kutumia taa za nishati ya jua katika uvuvi, hapo awali wavuvi wengi walikuwa wakitumia taa za karabai ambazo zinatumia Mafuta ya taa.
Katika jitihada za kulinda mazingira ziwani baadhi ya wavuvi nchini Tanzania wameanza kutumia taa za nishati ya jua katika uvuvi, hapo awali wavuvi wengi walikuwa wakitumia taa za karabai ambazo zinatumia Mafuta ya taa. Kwa sasa taa hizo zimezuiwa na serikali kwani zilikuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira ya ziwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live