Menu ›
Biashara
Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wafanyabiashara wilaya ya Hanang mkoani Manyara wameiomba Serikali kupitia Mamlaka ya mapato Tanzania kuwapunguzia Kodi kutokana na Janga lililowakumba ambalo limewapelekea kuwa na Hali ngumu ya kiuchumi
Wakizungumza wafanyabiashara hao wamesema kuwa pesa ipo lakini bidhaa hakuna kutokana na bidhaa zao kusombwa na maji na kupata hasara kubwa
Wamesema kuwa katika Mji wa Kateshi biashara Huwa wanafanya kwa kutegemeana kama vile mifugo na nafaka lakini kwa Sasa inakuwa ngumj kufanyika hivyo Kodi ikishushwa ana kufutiwa kwa muda itakuwa hauweni kwao katika kuanza upya kibiashara
Chanzo: www.tanzaniaweb.live