Menu ›
Biashara
Thu, 29 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo vitarejeshwa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo vitarejeshwa. Ametoa kauli hiyo leo, wakati wa kikao cha kutoa ripoti ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam, kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa huo, Abbasi Mtemvu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live